Wednesday, May 4, 2016

Snura: 'Kucheza Sinema za Watu Unabanwa, Unashindwa Kuwakilisha Mawazo Yako'

Waswahili usema usitupe cha zamani kwa kupata kipya ni kweli au ni msemo tu, kama ni msemo basi Snura Mushi mwigizaji na mwanamuziki wa kizazi kipya anatiririka kuhusu muziki na filamu, kwa sasa mwanamuziki huyo anasema kuwa muziki anaufurahia kwani mawazo yake yanafanya kazi.

“Najua katika upande wa muziki nimeshika nafasi nguvu zangu nafikiria kuhamishia katika filamu kwani ndio fani iliyonitambulisha, shida ukicheza sinema za watu unashindwa kuwakilisha mawazo yako, nitafanya katika filamu yangu,” 

Msanii huyu anayetamba na wimbo wake wa Chura anasema kuwa yeye ni mbunifu na mtunzi mzuri wa filamu hivyo punde akitengeneza filamu yake itakuwa na viwango vya kimataifa tofauti sasa anaposhiriki sinema za watu anabanwa kuonyesha kitu tofauti

Share:
Weka Maoni yako Hapa

Habari Zinginezo:

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger