Friday, April 22, 2016

Dudu Baya: Sijawahi Kutumia Madawa ya Kulevya wala Bangi


Msanii mkongwe wa muziki wa Hip Hop, Dudu Baya amefunguka kwa kusema kuwa katika maisha yake ya muziki hajawai tumia Madawa ya kulevya, kuvuta sigara wala kunywa bia.
Rapa huyo ameiambia Bongo5 kuwa yeye ameeputa kutumia madawa ya kulevya kwa kuwa amekuwa akiishi na watu ambao wameathirika.
“Mimi sivuti sigara, sinywi bia wala situmii Madawa ya kulevya na sijawai kushawishika,” alisema Dudu. Mimi ni mnywaji wa bapa (Konyagi), lakini sio vinywaji vingine,”
Share:
Weka Maoni yako Hapa

Habari Zinginezo:

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger