Saturday, April 30, 2016

Ahadi ya Rais Magufuli Kuonyesha Salary Slip ya Mshahara Wake Akitoka Likizo yakumbushiwa....

Mdau mmoja wa ACT Wazalendo  kutoka Kibaha ajulikanae kama Habib Mchange ameandika yafuatayo kwenye ukurasa wake wa Facebook kuhusu ahadi ya Rais Magufuli kuonyesha Salary Slip ya Msahara wake:

"Hivi Rais ‪#‎MAGUFULI‬ bado yupo likizo au amesharudi kazini Magogoni?.
Mbona alituahidi kutuonyesha ‪#‎SALARY‬-‪#‎SLIP‬ yake anayolipwa 9.5ml. Kila mwezi kama mshahara na Mpaka leo Kimya?.
#Magufuli Baba ahadi ni deni. Tuwekee wazi kale ka salary Slip kako ili tuone unavyoyaishi maneno yako.
Yawezekana umesahau na wanaokuzunguka wanaogopa kukukumbusha wanahofu utawatumbua.
Kwetu sisi ‪#‎ACtWAZALENDO‬ ni Kusema ukweli tu bila kumung'unya Maneno.
‪#‎AuNaloJipu‬?" By Habib Mchange
Share:
Weka Maoni yako Hapa

Habari Zinginezo:

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger