Saturday, July 18, 2015

Picha: Mchungaji Africa kusini awaamuru waumini wake wale nyoka na wakamtii


Mchungaji huko South Africa anayeitwa  Penuel Mnguni amewashawishi waumini wake kula nyoka wakati wa huduma kanisani na wakamtii.

Kutokana na ripoti tulizonazo,mchungaji huyo anasema kwamba hao nyoka watabadilika kuwa chocolate wakati unatafuna. Madai hayo yalikua yanatokana na mahubiri kuhusu imani, ambapo alitangaza kuwa ana 'mamlaka' ya kubadilisha kila kitu na kuwa chohote  na  kikamtii kwasababu ya mamlaka yetu. 

Miezi michache iliyopita, mchungaji huyo huyo aliripotiwa kuwa aliwaambia  waumini wake wavue nguo wakati anawakanyaga kanyaga. huu ukombozi wa aina gani?!!!!
Ghana-News986
Ghana-News987
Ghana-News988
Ghana-News989

Source:ReportGhananews.com
Share:
Weka Maoni yako Hapa

Habari Zinginezo:

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger