Tuesday, May 28, 2013

BREAKING NEWzz: MSANII WA BONGO FLEVA ALBERT MANGWEA AFARIKI DUNIA...!!


Habari  zilizotufikia  ni  kwamba  msanii  Albert Mangwair  amefariki dunia  akiwa  Afrika  kusini

Taarifa zilizotufikia hivi punde ambazo bado hazijathibitishwa zinasema kuwa msanii Albert Mangwair amefariki dunia akiwa nchini Afrika Kusini alipokuwa amelazwa katika hospitali ya St Hellen.
ENDELEA KUWA NASI TUWEZE KUKUPASHA  ZAIDI.... 
Share:
Weka Maoni yako Hapa

Habari Zinginezo:

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger