Sunday, March 3, 2013

Rihanna na Chris Brown sasa wafikiria kufunga Ndoa.

Wiki kadhaa baada ya kurudiana, huenda Rihanna na Chris Brown wakaupeleka uhusiano wao mbele zaidi kipindi hiki, kwa kuwa na familia na watoto.
rihanna-elle-2_0
Rihanna ameliambia jarida la ELLE UK kuhusu mwanzo mpya wa mahusiano yake na Chris.Kuhusu mipango ya kuwa na watoto anasema:
“Bila shaka ntakuwa na mtoto. Na nasali niweze kwenda mapumziko kwa mwezi mmoja mzuri. Na nimejiwekea mambo fulani hivyo sina haja ya kufanya tour katika maisha yangu yote yaliyobaki hata kama napenda kufanya tour. Nataka afya na furaha katika miaka mitano. Nataka kuwa mwenye afya na mwenye furaha.”
Share:
Weka Maoni yako Hapa

Habari Zinginezo:

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger