“Kupa na Mafufu ni watu wangu wa karibu, haiwezekani waende mbali kiasi hicho kufuata suti, nitawasapraizi kwa suti baab’kubwa,” alisema Wema.
Thursday, January 24, 2013
WEMA AWAPIGA STOP AKINA KUPA
BEAUTIFUL Onyinye, Wema Sepetu amewazuia waigizaji Idrisa Kupa ‘Kupa’ na Jimmy Mafufu kwenda kununua suti za ndoa zao Afrika Kusini na badala yake atawanunulia yeye.
Akipiga stori na paparazi wetu, Wema alisema ameguswa na ndoa za mastaa hao hivyo ameona bora alilivalie njuga suala hilo kwa kuwaandalia suti zenye hadhi ya kistaa.
“Kupa na Mafufu ni watu wangu wa karibu, haiwezekani waende mbali kiasi hicho kufuata suti, nitawasapraizi kwa suti baab’kubwa,” alisema Wema.
“Kupa na Mafufu ni watu wangu wa karibu, haiwezekani waende mbali kiasi hicho kufuata suti, nitawasapraizi kwa suti baab’kubwa,” alisema Wema.
Weka Maoni yako Hapa
0 comments:
Post a Comment