Monday, January 21, 2013

Na Gladness Mallya
STAA wa filamu Bongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’ amefunguka kuwa kipenzi chake, Emmannuel Rushau ‘Bwana Misosi’ anapenda kudeka pindi wanapokuwa viwanja.
Akipiga stori na paparazi wetu katika Viwanja vya Leaders Club hivi karibuni, Amanda aliweka plain kuwa ‘boifrendi’ wake huyo amekuwa na tabia hiyo hali ambayo inaleta maswali mengi kwa wasiolipenda penzi lao.
“Jamani Baby wangu naye anadeka... hebu tazama sasa hivi alivyonilalia, majungu yataanza sasa hivi. Lakini nilikuwa nikiomba faraja, sasa nimeipata nashukuru,” alisema Amanda.
Share:
Weka Maoni yako Hapa

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger