Friday, October 12, 2012

Angalia VIDEO YA BIBI ALIYEZIKWA AKIWA HAI....



VIDEO HAPO JUU...

Mwili wa ajuza wa miaka 95 anayedaiwa kuzikwa akiwa hai na jamaa zake umefukuliwa hivi leo, huku kukiwa na dalili huenda mwendazake aliuawa na maiti yake kukatwa katwa na kisha kuwekwa kwenye gunia. Biwi la simanzi lilighubika kijiji cha Ndumba, kaunti ya Kirinyaga wakati maiti hiyo ikifukuliwa.



Share:
Weka Maoni yako Hapa

Habari Zinginezo:

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger