Lady Jaydee
Mtandao maarufu wa MSN ambao ndio dada wa anuani maarufu duniani ya hotmail jana imeandika habari picha iliyopewa jina la ‘The King and Queen of Bongo Flava’ na kuwataja Diamond na Lady Jaydee kama vinara nchini Tanzania.
“Bongo Flava is a genre of hip hop from Tanzania. The lyrics are in English or Swahili. Two of the biggest stars of this genre are Diamond Platnumz and Lady Jaydee,”umeandika mtandao huo kwenye page maalum kuhusu mambo ya Afrika ya ‘http://african.howzit.msn.com’ ambayo ni sehemu ya MSN inayoandaliwa nchini Afrika Kusini.
Diamond Platnumz
Big up Diamond na Lady Jaydee
0 comments:
Post a Comment