Thursday, June 16, 2016

Video: Chid Benz Kaelezea Maisha ya Sober House na Mipango Yake Mipya

Baada ya Chid Benz kutoka Sober House iliyopo Bagamoyo  kwa ajili ya kupata matibabu ya kuacha kutumia madawa kulevywa, June 16 2016 Chid benz ameeleza jinsi alivyokuwa anaishi katika nyumba ya Sober House na pia kaweka wazi mipango yake ya kurudi kwenye game ya bongofleva.

Mimi kule nilikuwa naishi kama staa kwasababu pia wale watu ambao nilikuwa naishi nao walikuwa wanajua mimi ni mtu ambaye walishawahi kuniona kwenye magazeti na TV kwa hiyo nilikuwa naishi vizuri hata hivyo Babu Tale aliwambia kuwa wanipe kipao mbele’ Chid Benz

Kuhusu mimi nitakuwa kwenye lebel gani mimi namuachia Babu Tale kwasababu yeye ndio aliyeninyanyua upya na kunirudisha niwe kwenye muonekano huu yaani ni shine kwa mara nyingine, kwahiyo mimi na msikiliza yeye atakachoniambia
Chid Benz
Share:
Weka Maoni yako Hapa

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger