Wednesday, June 15, 2016

Majibu ya Wastara Kuhusu Madai Kuwa Ana Mimba ya Mbunge Aliyekuwa Mume Wake

Mashabiki katika mitandao ya kijamii wanamshinikiza staa wa filamu, Wastara Juma kuwapa ukweli kama ana mimba ya Mbunge wa Jimbo la Donge Zanzibar, Sadifa Khamis ambaye ameachana naye miezi kadhaa iliyopita.

Muigizaji huyo ambaye ni mama wa watoto watutu, ameona asikae kimya kushuhu swala hilo na kuamua kuwajibu mashabiki hao akiwataka kutulia kama ana mimba wanaiona baada ya miezi tisa.

Haya ni majibu wa Wastara kuhusu kuwa na mimba.

Share:
Weka Maoni yako Hapa

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger