Wednesday, June 15, 2016

Kinana: Watawala Wawe na Ujasiri wa Kuomba Radhi

Kinana amekazia haya wakati wa kongamano la Kigoda cha Mwalimu. Amemtumia Mwalimu kuwataka watawala kuomba radhi pale wanapowakosea wananchi!!

Hivi karibuni watawala wamekuwa wakifanya mambo kwa kukurupuka mfano Uhaba wa Sukari, na kuita vijana wetu vilaza,lakini wamekuwa wabishi kukiri makosa.
Share:
Weka Maoni yako Hapa

Habari Zinginezo:

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger