Kinana amekazia haya wakati wa kongamano la Kigoda cha Mwalimu.
Amemtumia Mwalimu kuwataka watawala kuomba radhi pale wanapowakosea
wananchi!!
Hivi karibuni watawala wamekuwa wakifanya mambo kwa kukurupuka mfano Uhaba wa Sukari, na kuita vijana wetu vilaza,lakini wamekuwa wabishi kukiri makosa.
0 comments:
Post a Comment