Friday, May 27, 2016

Imebainika....Bifu ya Vanessa Mdee na Shilole ilikuwa Kiki tu

Siku hizi kutafuta Kiki hata kwa kutukanana na mabeef imekuwa kitu cha kawaida kwa wasanii wetu hapa Tanzania...

Unaambiwa Ile bifu ya Wanamuziki warembo wawili Vanessa Mdee na Shilole imekuja kubainika kuwa ilipangwa ili kuvutia watu katika Show yao ya pamoja inayotarajiwa kufanyaka Club ya Bilcanas jijini Dar Jumapili hii...

Kwenye show hiyo Vanessa Mdee na Shishi Watapanda jukwaani kuonyeshana nani mkali kati yao..
Share:
Weka Maoni yako Hapa

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger