Thursday, April 28, 2016

VIDEO: Mafuriko Mikumi Jimboni kwa Prof Jay


April 25 2016 siku moja baada ya mbunge wa Jimbo la Mikumi Joseph Haule a.k.a Prof Jay kutoa msaada wa mabomba yenye thamani ya zaidi ya Tsh Milioni 10 za kitanzania katika kitongoji cha Ruaha,alilazimika kutembelea wahanga wa mafuriko wa kijiji cha Changalawe kilichopo ndani ya jimbo lake na kuangalia uharibifu uliojitokeza.
Share:
Weka Maoni yako Hapa

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger