Wednesday, April 27, 2016

Video: Kifo cha Papa Wemba Chazua Utata...Wadai Aliwekewa Sumu Kwenye Mic


Mtandao wa Kinshasa-makomba.com umetoa shutuma kuwa mwimbaji Papa Wemba aliyefariki wiki iliyopita kwa kuanguka jukwaani ghafla hakufariki kwa kifo cha kawaida bali amewekewa sumu kwenye mic aliyekuwa akiimbia.Mtandao huo umekwenda mbali zaidi na kuweka video ikionyesha tukio zima jinsi alivyobadilishiwa mic na kuwekewa yenye sumu.

Angalia video hapa chini
Share:
Weka Maoni yako Hapa

Habari Zinginezo:

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger