Thursday, May 9, 2013
BRAKING NEWS: SHEIKH PONDA AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MWAKA MMOJA CHA NJE
Mhakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imemuhukumu Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda kifungo cha nje cha mwaka mmoja.
Weka Maoni yako Hapa
0 comments:
Post a Comment