
Wako kwenye mbuga za wanyama Afrika Kusini wanakula bata ....ni Raila Odinga na wenzake wawili akiwemo Kalonzo Musyoka.

Inadaiwa Raila Odinga na wagombea wenza wameamua kukwepa kuwepo kwenye kuapishwa kwa Rais Uhuru Kenyatta na kuamua kwenda Afrika Kusini .
0 comments:
Post a Comment