Eneo ambalo ndege iliyoanguka, kutoka eneo hilo mpaka landing truck ni kama 1km. Mbele ya mabaki hayo ya ndege kuna mti mmoja ambao unasadikiwa kuwa ndege hiyo ilijigonga na kudondoka chini.
Sunday, April 14, 2013
HIZI NDO PICHA ZA MABAKI YA NDEGE ILIYODONDOKA JANA JIJINI ARUSHA.....!!
Eneo ambalo ndege iliyoanguka, kutoka eneo hilo mpaka landing truck ni kama 1km. Mbele ya mabaki hayo ya ndege kuna mti mmoja ambao unasadikiwa kuwa ndege hiyo ilijigonga na kudondoka chini.
Weka Maoni yako Hapa
0 comments:
Post a Comment