Home
About
Disclaimer
Contact
Advertise Here
Home
BURUDANI
SIASA
MICHEZO
WASANII
GOSSIPS
Menu
Home
BURUDANI
SIASA
MICHEZO
WASANII
GOSSIPS
Wednesday, April 3, 2013
BREAKING NEWS: HALI NI MBAYA HUKO TUNDUMA....MABOMU KILA MAHALI NA WATU WAMEAMRIWA WASITOKE NJE...!!
2:55:00 PM
dini
No comments
Masaa takribani matano mabomu ya machozi na risasi za moto zinasikika mataili yamechomwa barabarani maduka yote yamefungwa...
Ni mshikemshike kati ya vyombo vya dola na raia hadi sasa msikiti mmoja umechomwa moto maeneo ya mwaka na kisimani
Hali ni mbaya zaidi kwan mabomu ya mochozi yanapigwa hadi vyumbani.
Imetollewa amri watu wote walale majumbani kwao
Chanzo cha tatizo ni waislamu na wakristo.Wametofautiana juu ya suala na kuchinja...
Share:
Weka Maoni yako Hapa
← Newer Post
Older Post →
Home
0 comments:
Post a Comment
Search for:
Become a Fan
Popular Posts
HII NI VIDEO YA MCHUNGAJI ALIYENASWA AKIZINI NA MWANAMKE TASA AMBAYE ALIDANGANYWA KUWA ATAPATA MTOTO!!
Ama kweli waswahili wanasema tembea uyaone, na kuwa mwenye macho baii haambiwi tazama, labda nikupe muhtasari mfupi ndugu msomaji kuhusiana ...
HUYU NDIYE MUUZA MADAWA YA KULEVYA ALIYEISHIA KUKATWA MIGUU NA MIKONO...!!
UKIMUONA kwa mara ya kwanza ni vigumu kufikiri kama anaweza akawa amepitia katika mikasa migumu ya kutisha ya maisha kama ilivyomtokea. Ng...
TAKUKURU Walivalia Njuga Sakata la Walioficha Sukari
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa inafanya uchunguzi dhidi ya tuhuma zinazowahusu wafanyabiashara wa sukari nchini kwa kuficha b...
MNENGUAJI WA MASHUJAA BAND NYAMWELA JR ATIWA MARONI KWA KOSA LA KUMLAWITI MTOTO WA KIUME WA MIAKA 6....
MNENGUAJI wa kiume wa Mashujaa Band, Juma Nyamwela ( Nyamwela Jr ) amekamatwa na polisi kwa tuhuma za kumlawiti mtoto wa kiume wa umri wa ...
Aunt Ezekiel, Mose Iyobo Pamoja na Mtoto Wao ‘Cookie’ Kuandaa Filamu ya Pamoja
Msanii wa filamu, Aunt Ezekiel na mpenzi wake Mose Iyobo pamoja na mtoto wao ‘Cookie’, wapo kwenye mchakato wa kuandaa filamu ya fimi...
MAHAKAMA YATAKIWA KUMTAMBUA SOKWE KAMA BINADAMU KISHERIA....
. Kikundi kimoja cha kutetea haki za wanyama nchini Marekani kimeitaka mahakama mojamjini New York kumtambua sokwe kama binadamu kisheria. ...
CHIDI BENZ "AMCHAPA MAKONDE" NGWAIR
Mkali wa vina na mashairi kutoka pande za Ilala anayefahamika kwa jina maarufu la ' Chid Benz ' ameanza kupata sifa mbaya baada ya k...
MWANAMKE ANUSURIKA KUUAWA BAADA YA KUKUTWA UCHI HUKU AKIWA AMESHIKA KOPO LENYE MAVI NA DAWA HUKO BUNDA....
(Picha ya Maktaba.) JESHI la Polisi wilayani Bunda, jana lililazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi wenye hasira kali ...
HII NDIO PICHA YA WASANII WA BONGO MOVIE WALIPONASWA WAKIFANYA MAPENZI VICHAKANI...
Chipukizi wawili wa filamu za Kibongo, Tabasamu Mohamed na Neema Ibrahim, wa li kutwa ‘laivu’ wakifanya mambo ya chumbani hadharani. Hil...
DR.KITILA MKUMBO AKANUSHA KUWA MJUMBE WA KAMATI KUU YA CHADEMA,ADAI ALIJIUZULU TANGU MWAKA 2010....
. Katika hali ya kushangaza Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dkt. Kitila Mkumbo, amekanusha madai ya kuwa mjumbe wa Kamati Kuu ...
Copyright ©
GUMZO LA JIJI
| Powered by
Blogger
0 comments:
Post a Comment