Wednesday, February 27, 2013

HEKAHEKA YA WIZI WA MAJI TANDALE, MAMA AZIMIA BAADA YA KUNASWA LIVE AKIIBA MAJI ...!!

 maafisa wa Dawasco wakimtoa mama huyu nyumbani kwake na kumpeleka katika gari la polisi leo 
 Mwanamke aliyetuhumiwa kuwa ni mwizi wa maji yanayosambazwa na kampuni ya Maji Safi na maji Taka  ( DAWSACO), akikamatwa eneo la Tandale jijini Dar es salaam leo wakati wa  Kampeni ya kampuni ya  DAWASCO iliyozinduliwa leo katika kupambana na watu wanaojiunganishia maji kwa wizi na kuwasambazia wateja  zake iliyoandaliwa katika mikoa ya Dar es salaam na Pwani  kwa lengo la kuthibiti wizi wa asilimia 30 wa maji yanayopotea  bila ya kuwafikia wateja wak
Maama huyu anaedaiwa kwa tuhuma za wizi wa maji ya dawasco kutoboa bomba kubwa na kujaza katika tanki amelala chini akidai amezimia leo akiofia kwenda polisi
Share:
Weka Maoni yako Hapa

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger