Wednesday, January 16, 2013

Ngwair kuja na ngoma maalum ya Valentine’s Day

ngweir 2
Rapper Albert Mangwea aka Ngwair amesema wapendanao wajiandae kusikiliza ngoma yake special kwaajili ya siku ya yao, Valentine’s Day, February 14.
Ngwair ameiambia Bongo5 kuwa ngoma hiyo aliyoifanya AM Records chini ya producer Manecky inaitwa ‘Alma’.Amesema Alma itatoka siku mbili kabla ya Valentine’s Day na itakuwemo kwenye albam yake mpya iitwayo MIMI 3.
Ameongeza kuwa Mimi 3 itatoka mwezi April mwaka huu.
Share:
Weka Maoni yako Hapa

Habari Zinginezo:

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger