Wednesday, November 7, 2012

OBAMA ACHAGULIWA KUWA RAIS TENA




Hatimaye aliyekuwa RAIS wa MAREKANI katika awamu iliyopita amepata ridhaa ya kuiongoza nchi hiyo katika kipindi kingine cha Miaka minne. OBAMA ambaye amempita mpinzani wa ROMNEY kwa asilimia chache anatawazwa kuwa RAIS mteule wa nchi hiyo.

HONGERA RAIS OBAMA
Share:
Weka Maoni yako Hapa

Habari Zinginezo:

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger