Friday, November 9, 2012

MSICHANA WA MIAKA 6 AMWAGIWA MAJI YA MOTO SEHEMU ZAKE ZA SIRI



http://1.bp.blogspot.com/-0gaee6iHxtE/UJqr2quQa3I/AAAAAAAAUzw/xlqLSZ7t7eA/s1600/hotwater.jpg
Mama mmoja mwenye umri wa miaka 26 ,Mrs. Blessing Uche, ameusikitisha umma wa watu pale alipommwagia maji ya moto mtoto wale wan kike mwanzoni mwa wiki hii.

Mwanamama huyo kwa sasa anashikiliwa na POLISI kwaajili ya maelezo zaidi na wanaharakati wa kutetea haki za watoto wameonekana kulivalia njuga swala hili kwa kutangaza kumfungulia kesi mwanamama huyo.

Share:
Weka Maoni yako Hapa

Habari Zinginezo:

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger