NDOA ya mastaa wa filamu, Mike Sangu na Ndumbagwe Misayo ‘Thea’ imevurugika baada ya kutokea hali ya kuzinguana kwa wawili hao chanzo kikidaiwa ni kukosekana uaminifu.Mike Sangu na Ndumbagwe Misayo ‘Thea’ siku ya ndoa yao. Chanzo cha habari hii ambacho ni rafiki wa Thea kilieleza kuwa, kutibuana...
Showing posts with label wasa. Show all posts
Showing posts with label wasa. Show all posts
Friday, November 8, 2013
Sunday, May 19, 2013
MR. NICE AURUDIA TENA "UKICHECHE" ULIOMFANYA AFILISIKE

Hakika Tabia ni ngozi....Ni vigumu kuamini, lakini ukweli ni kwamba Mr.Nice ameirudia tena ile tabia yake ya Ukicheche na kuwapanga wanawake mithiri ya vyombo kabatini iliyomfanya ...