Tabia ya Wachekeshaji wa Kenya kurudia
nyimbo za bongofleva kwa njia ya kuchekesha sio tabia ngeni, Erick
Omondi ni miongoni mwa waliofanya hivyo hivyo kwa nyimba za Diamond,
sasa ni zamu ya zigo remix kutoka kwa Kajairo.
Copyright © GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger
0 comments:
Post a Comment