Ripoti
kutoka mitandaoni zinasema kuwa Mheshimiwa Mbunge Sugu Amemzawadia
Gari aina ya Toyota Lexus kama zawadi ya siku ya kuzaliwa kwa mpenzi
wake ajulikanae kama Happiness, Sugu na mpenzi wake huyo mpya wamekuwa
gumzo mitandaoni hasa baada ya aliyekuwa mpenzi wa Sugu wa zamani Faiza
Ally kusema bado anampenda Sugu....Wadau wengi tunasubiri kuona Faiza
atasema nini kuhusu hilo kwani amekuwa sio mvumilivu wa kukaa kimya linapokuja suala la Sugu.
Hizi Hapa ni Baadhi ya Comments kutoka kwa wadau mitandaoni:
mrs_j6316 @mwakobadoris :njoo umuone Mrs sugu au first lady wa Mbeya yetu mpaka raha wallah afu ametulia hadi uso.
full_mikuki :Maskini bahati hizi wengine acha tuzae tu
fine_mushy: Tenaaaaaa sio Harrier bubu Maana Kuna Harrier Kma Harrier mamaeeeee kitu LEXUS hiooooo
official_chagga_girl: Kuna watu wanakufaa ukoo,haaa haaa @tit4tati
Hizi Hapa ni Baadhi ya Comments kutoka kwa wadau mitandaoni:
mrs_j6316 @mwakobadoris :njoo umuone Mrs sugu au first lady wa Mbeya yetu mpaka raha wallah afu ametulia hadi uso.
full_mikuki :Maskini bahati hizi wengine acha tuzae tu
fine_mushy: Tenaaaaaa sio Harrier bubu Maana Kuna Harrier Kma Harrier mamaeeeee kitu LEXUS hiooooo
official_chagga_girl: Kuna watu wanakufaa ukoo,haaa haaa @tit4tati


0 comments:
Post a Comment