Shilole pia amewataka mashabiki wake kukaa tayari na kolabo ambayo aliwaahidi kuwa atafanya na mwanamuziki Jennifer Lopez ambayo anatarajia kuikamilisha mwisho wa mwaka huu atakapokwenda tena ziarani Marekani.
Source: Vituko vya mtaa
Copyright © GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger
0 comments:
Post a Comment