Wednesday, April 17, 2013

WABUNGE WATAKA DAR IGAWANYWE MIKOA 3....!!



WABUNGE wa Mkoa wa Dar es Salaam wametaka serikali kuugawa mkoa wao na wilaya zake. Wamesema kwa sasa mkoa huo, umeelemewa na watu wengi na kusababisha foleni za magari kuwa kubwa pamoja na ujambazi kutikisa jiji hilo.
Share:
Weka Maoni yako Hapa

Habari Zinginezo:

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger