Wednesday, February 27, 2013

Cpwaa: I’m about to kiss Bonga Flava goodbye

Rapper aliyewahi kutajwa kuwania tuzo za Channel O, Ilunga Khalifa aka Cpwaa The Supreme amekuwa kimya tangu aliporejea kwenye tuzo hizo za mwaka jana lakini ukimya huo una maana kubwa.
cpwaa3
Kutokana na posts mbalimbali anazoziandika kwenye Facebook na Twitter, crunk master huyo anaonesha atakuwa chini ya menejimenti mpya itakayosimamia kazi zake. Akiwa chini ya menejimenti hiyo mpya, Cpwaa anadai ataiiaga rasmi Bongo Flava na kuanza kudondosha ngoma kwaajili ya mashabiki wake wa crunk.
“So am about to kiss Bongoflava goodbye in the next few months, before the new management Chain me to some serious shiit…I wanna do it once more for the street and my crunk fans,,#TrapMusic….If u got some beats inbox me,” ameandika.
Share:
Weka Maoni yako Hapa

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger