Katika shopping hiyo iliyofanyika katika duka moja lililopo maeneo ya Manyanya- Kinondoni jijini Dar, ‘kachala’ wa Wikienda Star Shopping alimshuhudia Baby Madaha akitungua makufuli hayo kadhaa.
“Napenda sana makufuli yanayoweka shepu nzuri na huwa nafanya shopping hiyo mara mbili kwa mwezi,” alisema Baby Madaha na kuongeza:
0 comments:
Post a Comment