Wavunjaji hao walifika eneo hilo bila hata kuongozana na mjumbe wala mwenyekiti wa serikali ya mtaa husika na hawakuwa na barua yoyote ya kuelekeza uvunjaji wa baa hiyo ambamo kulikuwa na watu waliokuwa wakipata vinywaji.
Sunday, November 25, 2012
MGAMBO DAR WABOMOA BAR USIKU WANYWAJI WAKIWA NDANI
Wavunjaji hao walifika eneo hilo bila hata kuongozana na mjumbe wala mwenyekiti wa serikali ya mtaa husika na hawakuwa na barua yoyote ya kuelekeza uvunjaji wa baa hiyo ambamo kulikuwa na watu waliokuwa wakipata vinywaji.
Weka Maoni yako Hapa
0 comments:
Post a Comment