Thursday, October 25, 2012

Chris Brown Ku'Perform' Uganda December 21

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgbUSuKeGehsqkN5f-kOIIX1FMBH-jAdCgUKMOuhUGYJj4J79LfG02C61h88L13LnTtPENwDi77Tpfi8U2h-o7iE1Un-uR9KJ632_PiStA_nAaELPjbLPI8J3qwmnwZ4a93oEEweTwX38CW/s1600/chrisbrown.jpg




Imetangzwa rasmi kuwa Chris Brown ata Perform ndani ya Udanda ifikapo December 21

Ujio wa msanii huyo kutoka Marekani umechagizwa na mienendo na mwendelezo wa wasanii kutoka Bara hilo kupendendelea kufanya matamasha yao barani Africa. Siku kadha  zilizopita tulimshuhudia RICK ROSS the BIG BOSS akiachia show ya nguvu ndani ya jiji ya DAR ES SALAAM

Huku waganda wakieendelea kuusubiri kwa hamu ujio wa rapa huyu machachari wakenya nao watapata fursa ya kumuona msanii wa Rasggae Jah Cure ambaye na yeye atafanya show nchini Kenya  mnamo December 1  mwaka huu. 
Share:
Weka Maoni yako Hapa

Habari Zinginezo:

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger