MMILIKI wa B-Band, Banana Zorro amefunguka la moyoni kuwa, mimba aliyopata dada’ke, Maunda Zorro mwaka jana ilikuwa ikimkera hivyo akamnunia.
“Kusema ukweli hata yeye baada ya kupata ujauzito hakuweza kuniambia moja kwa moja, akamwambia mke wangu, nilikereka sana lakini nilimsamehe baada ya kupata mtoto,” alisema Banana.
0 comments:
Post a Comment