Friday, February 22, 2013

MAUNO YA WEMA, AUNT YAWAPAGAWISHA MASHABIKI...!!


 
Wema Sepetu na Aunt Ezekiel wakikata mauno. 


Mpango mzima ulitokea hivi karibuni katika arobaini ya mtoto wa dada yake Wema iliyofanyika Sinza Kwa - Remmy, jijini Dar ambapo Aunt pamoja na baadhi ya wasanii walifika kusherehekea sherehe hiyo ya kumtoa mtoto.
 
 ...Warembo hao wakiwa katika pozi.
Awali, Wema alionekana akimtunza fedha pamoja na mikufu ya dhahabu yenye thamani kubwa na ilipoisha sherehe ya maulid ndipo mastaa hao waliwasha muziki na kuanza kulisakata rumba.
 “Sisi tumecheza tumefurahi tu hawa waliofunga mtaa kututazama watakuwa wanataka kuona mavituzi yetu,” alisema Wema.  
...Wakizidi kumwaga radhi.
Share:
Weka Maoni yako Hapa

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger