Tuesday, February 19, 2013
HUU NDO WARAKA WA UAMSHO UNAOCHOCHEA MACHAFUKO NA MAUAJI YA WAKRISTU HUKO ZANZIBAR
Huu ndo waraka uliosambazwa Zanzibar ukichochea mauaji ya wakristu ambao wao wanawaita "MAKAFIRI"....
Swali la kujiuliza ni JE, SERIKALI ILILITAMBUA HILI?..Maana hizi ni dalili za wazi kwamba mauaji haya YALIPANGWA.
NB: Hatutegemei lawama toka upande wowote.Palipo na lolote sisi hufichua kwa uwazi ili kuifahamisha jamii...
Kuna haja gani ya kuuficha ukweli?...Ni bora kuuanika ili watanzania wenzetu walioko zanzibar wachukue tahadhari wakisubiri msimamo wa serikali.
Chanzo cha waraka huu ni blog ya zanzibar.
Mtandao huu umeupata waraka huu kupitia JAMII FORUM.<<< BOFYA HAPA>>>
Weka Maoni yako Hapa
0 comments:
Post a Comment